FAHAMU WATU WENYE AKILI ZAIDI DUNIANI ( IQ )

By
Advertisement

HAWA NDIO WATU WA KUWAANGALIA MAMBO YAO AMBAYO YATAKUNUFAISHA KATIKA ELIMU YAKO


 10.FABIANO LUIGI CARUANA.



9.MICHEAL KEVIN KEARNEY
Huyu ana historia ya kufanya kila kitu kabla ya muda.Ameanza kuongea akiwa na miezi minne,akajifunza kusoma akiwa na miezi kumi,Amemaliza high school akiwa na miaka sita na akapata degree yake ya kwanza akiwa na miaka kumi tu.



8.SAUL AARON KRIPKE.
Alijifunza kiyahudi akiwa na miaka sita na akajifunza kazi za wanafalsafa wengi sana wakubwa duniani.Akiwa bado yuko elimu ya juu ya sekandari aliitwa kufundisha chuo cha Havard kilichoko Marekani.Kwa sasa anachukuliwa kuwa mmoja kati ya wanafalsafa wakubwa duniani wa zama hizi.



7.AKRIT JASWAL.
Kijana huyu ana IQ ya 146 na wakati watoto wengine wanacheza michezo ya udaktari,yeye akiwa na umri wa miaka saba alishakuwa daktari na alifanya operation iliyofanikiwa vizuri kabisa.Kwa sasa anachukua degree ya hesabu.Kwasasa ni mtoto mwenye akili zaidi India na daktari wa upasuaji mdogo zaidi kuliko wote duniani.



6.RICK ROSNER.
Huyu ana IQ ya 192 na ni muandishi katika television ya MTV.Ameandika script nyingi ambazo ni mtu mwenye iq kama yake ndio anaweza kuandika la sivyo ingekuwa ngumu.



5.MISLAV PREDAVEC.
Huyu pia ana IQ ya 192.Pamoja na iq kubwa kiasi hicho ana maisha ya kawaida akiishi kama profesa wa hesabu na anabiashara ndogo tu.Ungeweza kudhani kuwa alipaswa kuwa tajiri namba moja duniani lakini amechagua maisha ya kuishi na familia yake na muda wote anapenda kukaa na mtoto wake wa kiume.





4.EIVANGEIOIS KATISIOILS.
Huyu ni mgiriki mwenye IQ ya 198 na ana phd.





3.MARILYN VOS SAVANT.
Huyu ana IQ ya kuanzia 160 mpaka 228(hakuna namba halisi inayofahamika) na ni muandishi,recture na muandishi wa makala za siasa za kufurahisha sana na za ukweli.





2.CHRISTOPHER MICHEAL LANGAN.
Mtu huyu ana IQ Ya 195 na alianza kuongea akiwa na miezi sita.Amekuwa na tabia ya kujifunza kila kitu yeye mwenyewe.Kuna wakati alikuwa anajua mambo kuliko walimu wake na hivyo akawa anapata shida katika masomo.Ameishi katika umaskini kwa miaka arobaini mpaka iq yake ilipoonekana kuvuka mipaka na akawa mmoja kati ya ma selebrity.






1.KIM UNG YONG.
Mtu huyu ana IQ ya 210 ambayo inasadikika kuwa ndio kubwa kuliko zote katika historia.Alianza kujifunza lugha mbalimbali akiwa na miaka mitatu.Alijifunza na kujua hesabu za kiwango cha advance akiwa na miaka minne na akapata OHD akiwa na miaka kumi na saba.


0 comments:

Mr.Kikoti. Powered by Blogger.

Comments