FAHAMU FAIDA NA HASARA ZA KUJICHUA{PUNYETO}

By
Advertisement
SOCIAL HALL
SOCIAL HALL
 

Punyeto  Ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto,  ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.


Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine. 


Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi kama utatumia njia mbali mbali za kujitomosa na kujipa papasa ya kujistarehesha. 


Hakuna mtu anayezaliwa akijua jinsi mwili wake unavyoitikia msisimko wa kimapenzi. Inakubidi kujifunza kwa majaribio salama.


Na, kwa vile kila mtu yuko tofauti, njia nyengine ya kujua jinsi unavyoweza kumstarehesha mpenzi wako, ni kujifunza kutoka kwako mwenyewe. 


Shughulika zaidi na sehemu ambazo zinasisimka kwa urahisi. 


Unaweza kufikia kilele cha starehe yako
(kwa wanaume) kwa kutomasa tomasa uume au (wanawake) uke, lakini kutakupa hamu kubwa na ashiki, na kufikia kutoshelezwa vya kutosha, kama utapapasa pia sehemu nyenginezo za mwili wako. 

kwa kawaida au mazoea ni kuwa punyeto huwa inafanywa na vijana wa umri wa kubalehe au kuvunja ungo na hii ni kwamba mwili unakuwa unapokea mabadiliko hasa maumbile, sauti,vipele usoni hapo kijana anakuwa na shauku ya tamaa za kimwili ,wakati huo kijana anakuwa hana mwenza kwa hiyo inawalazimu kujilizisha kimwili..

Lakini hata watu walio katika mahusiano pia wanapiga punyeto ingawa si kwa kiasi kikubwa kama kwa vijana wanaoanza kubalehe

KWA NINI PUNYETO HUONEKANA KUWA MAKOSA? Msimamo wa dini nyingi na watu wengi ni kuwa punyeto ni dhambi, mwiko, jambo lililokatazwa, jambo lisilokubalika kabisa.

Lakini wanasanyansi wanasema ni jambo salama kiafya na dhana zilizopo kulihusu, ni imani za kibinafsi na chaguo la mtu.

Wanaume wengi na wanawake hupiga punyeto maishani mwao, kwa sababu huwafanya wakajisikia vizuri na huondoa dhiki za mihemko ya kimapenzi bila kujiingiza katika ngono na mtu mwengine.

Pia hofu ya kuambukizwa magonjwa ya zinaa, ikiwemo virusi vya HIV ni kichocheo tosha kinachopelekea baadhi ya watu kupiga punyeto.

FAIDA ZA KUPIGA PUNYETO.
1 . Kuujua mwili wako na kujiamini zaidi linapokuja swala la kungonoka (fanya mapenzi)
2 . Kuongezeka kwa hamu ya kufanya mapenzi kwa vile utakuwa unajua utamu wake.
3.  Kujua "vipele vyako viliko".
4.  Kutokuusaulisha mwili wako ikiwa uko nje ya uhusiano au umeamua kuwa single kwa 
     muda.
5.  Kuepuka mimba na maambukizo ya virusi vya UKIMWI na magonjwa mengine    

     yanayotokana na ngono zembe. 

Hizi ni baadhi tu ya faida zipo faida nyingi. MADHARA YA KUPIGA PUNYETO. Ifahamike kuwa kuna watu wengi sana wanatumia mikono yao kujisaga katika sehemu nyeti, Jambo hili linamadhara makubwa sana kwa binaadamu, Jambo hili kwa lugha ya kiingereza wanaliita Masturbation (
Manual erotic stimulation of the genitals or other erotic regions, often to orgasm, either by oneself or a partner.) ni kitendo cha mwanaume kujisugua uume wake.

Licha ya tafsiri ya punyeto kuwalenga wanaume zaidi lakini kuna Usagaji na madhara yake kwani hili linahusu wanawake na hili la usagaji linaingizwa na punyeto kwani madhara yake yanakaribiana lakini tofauti inakuja jinsi ya kujirizisha.

Wanaume wengi sana wanatumia mikono mikavu kujisaga, jambo hili huwafanya waharibu mishipa ya fahamu inayounganisha uume na mfumo uliopo kwenye ubongo
. Uharibifu huu humfanya mwanaume apoteze msisimko wa kujamiiana au hata akiupata humfanya ashidwe kufikisha hisia zake kisawasawa hasa akikutana na mwenza wake ambaye sehemu zake nyeti ni laini sana tofauti na mikono alozoea kujichua nayo.

Jambo jingine hatari linalo mkabili mpiga Punyeto ni upotevu wa hisia wakati wa kujichua kwa mfano ili afike kwenye kilele lazima akuze hisia zake kwa kiwango cha juu, pengine kupita ukweli halisi ataokutana nao pindi atakapokuwa na mwanamke faraghani.

Mpiga Punyeto hajitoshelezi mpaka amlete kwenye hisia mrembo zaidi (anayemjua au alimuona sehem akampenda) kisha amvike utundu wa kimahaba ampe manjonjo hadi mwenyewe atosheke, kwa namna hii mwanaume mwenye kufanya mazoea ya kufanya hisia za wanawake warembo ambao hawezi kuwapata kwa hali halisi anapokutana na kina Mwafulani wa mtaani tena sio mtundu kimapenzi, hapo kamwe hawezi kusisimka mwili na hivyo kujikuta Uume wake husimama kwa kiwango cha chini sana.

Madhara mengine yanayopatikana ndani ya kitendo hiki ni kuumwa kichwa, mgongo, kupoteza nguvu za mwili na macho, madhara mengine makubwa hasa mwanamme anaejichua mara mbili au tatu kwa siku ni kushindwa kuzalisha, hii inatokana na kukosekana kwa mbegu komavu za kiume kwenye mfuko wa uzazi.

     Hii yote madhara ya hapa duniani lakini kwa MUNGU amesema  

''Amelaaniwa mtumiaji mkono kwa kujisugua uume wake (Punyeto)
Kujichua kwa kutumia sanamu kunaweza sababisha kulegea(kutepeta) kwa nyama za nyeti zako(inategemea na aina ya sanamu), kupoteza hisia za uume halisi kutokana na kuzoea dubwana hizo, kifo kutokana na mshituko ikiwa unatumia ya umeme, vilevile saratani ikiwa unatumia vilainishio ili kurahisisha hilo sanamu kuingia.


ZINGATIA: -
kujichua kupita kiasi kunaweza kusababisha kupoteza hisia halisi ya uume

0 comments:

Mr.Kikoti. Powered by Blogger.

Comments