KIKOTI stories

By
Siku Dorie alivyokutana na Rafiki Yake
Dorie ni mwanadada Mbongo mzuri sana, miaka 22. Anasoma katika Chuo fulani cha akina dada tupu kwenye mji moja mdogo Jeddah, hapa Saudi. Ana rafiki yake wa kiume Mbongo miaka 29 anafanya kazi mjini. Basi siku moja kaja kumtembelea bwenini. Kwa kawaida wanaume hawaruhusiwi bwenini, isipokuwa mara moja kwa mwezi. Tena ni lazima waache mlango wa chumba wazi.
Dorie anamkaribisha Stephen vizuri. Pombe ni marufuku bwenini, lakini Stephen kabeba ndogo ya Vodka. Wanaongea juu ya masomo huko wanasikiliza muziki wa nyumbani. Wamekaa kitandani kwa Dorie. Roomate wake Dorie kaenda mjini, kwa hiyo ni wenyewe tu mle chumbani. Ile pombe kali inaanza kuwalesha. Dorie anainuka kwenda kufunga mlango wa chumba halafu anarudi chumbani.Kukaa karibu na Stephen wanaanza kusikia joto ya miili yao. Wanapiga Tongue Kisi na kupapasana huko wanacheka na nyege zinawapanda.
"Oh, Dorie napenda chuchu zako zinavyonichoma kifuani." "Stephen, MMhhh, nakupenda." Dorie anashusha mkono wake kwenye mtuno wa Stephen. Anakuta mboo yake imesimama."Oh Stephen, mpenzi" Unanitaka?.. Stephen anjajibu "Ndiyo mpenzi nakutaka!" Dorie anafungua zipu na kuiachia huru mboo ya Stephen iliyovimba kwa hasira. Anaipapasa taratibu?"Oh Dorie nina hamu na wewe" Stephen anaingiza mkono wake kwenye sketi, and bila kumvua chupi, anasogeza ile sehemu iliyofunika kuma na kuanza kuchezea kisimi cha Dorie. Dorie anapanua miguu kusudi apate yote.
"Oh, Oh?." Dorie analegea kabisa,, Stephen anamvua chupi. Anapapasa mwili wa Dorie, anaamua kumvua blausi na sidiriana sketi?.mwisho Dorie kabakia uchi pale kitandani?..Stephen anainama na kuchezea chuchu kwa mkono wa kulia. Anatazama kuma ya Dorie inavyovutia, huko anachezea chuchu huko ananza kumnyonya Dorie kisimi. "Uwiiiiiiii,oohhhhhhyyaaaaaaa, maaiigodi, taammmuu mpenzi unataka kuniua! "Unaona Tamu ?" Stpehen anauliza "Ndiyo sanaaa mmmhhh" Kusikia malamiko yake Stephen anajua Dorie yuko tayari kutombwa. Anajua ufundi wa kutomba ni kutayarisha kuma, kabla ya kutomba. Kama vile kuwasha jiko la mkaa. Hubandiki sufuria mpaka moto umekolea. Anatesti kuma na kidole, na kuona ina ute wa kutosha. Anashusha suruali na kuingiza mboo kumani. Inaslaidi ndani bila shida. "Aaahahhhh, Asssantee Stephen, Asante." Stephen naye alikuwa amebanwanyege, basi mara moja anaanza kupampu. Dorie naye anaanza kumkatia kiuno. Wote wana piga kelele za utamu, mpaka nje kwenye corridor baadhi ya wanafunzi wenzao wamekusanyika kusikiliza. Kwa vile wanaongea Kiswahili, hawaelewi wanasema nini?.mpaka wanafikiria wanumizana?..Wanafunzi wanaaanza kubisha hodi mlangoni. Wapenzi walivyo katika utamu hawasikii kitu, basi wale wenzao wanagonga mlango kwa nguvu, mwisho dada moja anamua kwenda kwa Matrion aje kufugua mlango na ufungu kuchukua ufungua wa chumba.
Matron anafika mlangoni na kusikilia?"What the hell are they doing in there"! Huko kasi ya shughuli moto wapenzi wanafikia kilele cha tendo wako peponi kabisa? Dorie analia kwa sauti, naye?."yeeeeeeeenakuuujaaa" Step ya shahawa kumani anaanzakuja tena? "AIIIIIIIIIIIIIIIII" Stephen anatazama Kuma ya Dorie na kuona kisimi bado kimetuna, " Wewe bado unanyege!" Matron anafungua mlango, na kuwakuta ndio wanamalizia. Stephen yuko juu ya Dorie. Wanafunzi wenzao wanabakia mlangoni kutazama kwa mshangao. Comments za wanafunzi wenzao. "Damn! We thought you guys were killing each other." "Yeah, You guys were just making love!? "Wow, were you guys loud" "Is that how you do it in Africa!" Dorie na Stephen wanabakia kuona haya. Wanavuta shuka? Matron anamfokea Dorie na kumwambia avae na aripoti ofisini. Kwa vile nyege zimemwishia Dorie anaanza kuona haya....
Chiku na Mwanakijiji
Ilikuwa ni karibu saa tatu na nusu za usiku tulipoamua kurudi hotelini baada ya kujichana kwa nguvu kwenye ukumbi wa chakula wa hoteli hiyo. Chiku alikuwa amevalia gauni la rangi nyekundu lililomkaa vyema na kuonyesha umbo lake vilivyo. Kifuani gauni hilo lilikuwa na uwazi ulioweza kuonyesha jinsi dada Chiku alivyojaliwa kifua.
Niliweza kuona mwinuko wa chuchu zake na ilithibitisha kuwa hakuwa amevaa sidiria. Alivalia viatu vyeupe vya mchuchumio na mkononi alibebea mkoba mwekundu wa Gucci. Binafsi nilivalia suti yangu ya rangi ya Zambarau na shati jeupe na tai ing'aayo ya rangi ya zambarau. Nilivalia viatu vya Georgio Martini vya rangi ya zambarau pia. Kichwani nilivalia kofia ya mviringo ya rangi nyeupe yenye ukanda wa zambarau. Kwa mtu aliyeniona nilitokea utadhania mimi ni P.I.M.P!!
Tulipendeza sana, na kila tulipopita macho ya watu walituangalia. Wewe ni mtanashati sana Chiku aliniambia huku akiegama kichwa chake kwenye bega langu. Harufu ya manukato mazuri niliivuta. Wewe zaidi! Nilimjibu na kumrushia busu la shavuni huku nikimminya kiunoni. Alicheka.
Sijui nini kilichonifanya nije huku. Alisema kana kwamba alikuwa anajuta. Ni kile kile kilichonifanyamimi nije kukupokea. Nilimjibu huku nikimwangalia machoni. Aliniangalia kwa macho yake yaliyolegea, yaliyokuwa yakiita njoo, njoo.
Hadithi zako huwa zinanivutia sana nilimwambia bila kuficha jinsi ninavyopenda kusoma hadithi zake. Asante sana Ila za kwako huwa zinanifanya nilowe haraka sana Alinijibu. Tuliingia kwenye chumba alichofikia. Alienda na kufungulia CD yake na wimbo wa Careless Whispe ulikuwa ukiimbwa.
Nilijua leo moto!Mara baada ya kuufunga mlango, nilimvuta karibu yangu na kuanza kumbusu mdomoni na kuanza kunyonyana ulimi. Alirudisha busu zangu kwa mbwembwe nyingi huku akinitomasa mgongoni. Sijui alijuaje kwani nyege huwa zinanipanda sana nikiguswa mgongoni!! Niliendelea kumtomasa matako huku nikimbusu. Chiku, you have big ass, oh my gosh! Nilimwambia kwa kimombo huku nikiyaminya kwa nguvu matako yake ambaye yalikuwa na mviringo utadhani kitunguu!!?
Wait till I put it on you!!? Alinijibu huku akianza kufungua mkanda wa suruali yangu. Nilianza kufungua vifungo vya shati langu huku yeye akimalizia kuniteremsha suruali yangu. Niliegama ukutani huku nikimwangalia. Mwanakijiji, mb.oo yako imedinda kama nini? Alisema huku akiichezea na macho yake akiingalia kwa makini utadhani yuko maabara ya uchunguzi wa mb.oo!!? Nimekuwa nikikuwaza kama nini? Nilimjibu.?
Naomba basi ruhusa kumbusu bwana mkubwa, I adore him? alisema. Unayo ruhusa ya kufanya chochote unachotaka kumfanyia, he is all yours? Nilimjibu. Jinsi alivyokuwa akiungalia uboo wangu nilikuwa na hakika kuwa dada Chiku anapenda mb.oo sana! Alianza kwa kunibusu kwenye makende huku akiwa ameushika mlingoti kiufundi. Alianza kunilamba pole pole huku akiniangalia jinsi nilivyokuwa nimekakamaa!! Akaanza kuninyonya kichwa cha mb.oo kwa taratibu sana. Joto lilianza kunipanda!! Aliingiza mb.oo yangu yote mdomoni, akaanza kuninyonya huku akiutumia ulimi wake kiufundi.?Ahh Chiku, ur so good! Nilimwambia huku nikilalama. Nilikuwa nikichezea nywele zake.You aint seen nothing yet aliniambia huku akiongeza spidi ya kuninyonya! Oh, u gonna make me come this way? Nilimwambia kwa sauti ya kusihi. Not so fast Mr.PIMP? Aliniambia. Nikajua leo nimekuta kiboko yangu. Mawazoni mwangu niligundua kuwa nitapoteza huu mchezo. Nikamwambia asimame. Alinitii bila kufanya ajizi. Nilipandisha gauni lake juu na kumvua chupi, alikuwa amevalia G-String ya rangi nyekundu. Huyu dada anapenda sana kumechisha nguo zake, Nilijiwazia. Nililivua gauni kifuani tu na kuliacha lielee kati ya matiti na kiuno. Nilimnyanyua Chiku na badala ya kumpeleka kitandani kama alivyotarajia nilimweka mezani. Alipanua miguu yake na ile harufu maridhawa ya kike ilinifikia, wenyewe wanaiita scent of a woman. Nilianza kumbusu toka miguuni, nikipanda taratibu.
Yeye alikuwa ameegama mikono yake kwenye meza huku amefumba macho akila utamu!! Katika kasri ya malkia nilibisha hodi!! Chiku aliguna na kufumbua macho. Ninyonye na mimi basi, mwanakijiji? Alinisihi kwa sauti ya kubembeleza, Ulifikiri ninataka kufanya nini. Kukuimbia kwenye kum.a Nilimjibu kimzaha.Nilianza kumrudishia fadhili. Chiku anapenda kunyonywa. Nilikumbuka darasa alilowahi kulitoa huko kwenye bodi Jinsi ya kunyonya ku.ma. Nilihakikisha kuwa napata alama za A. Alikuwa anazungusha kiuno chake kufuatia mwelekeo wa ulimi wangu. Natamani mb.oo yako mwanakijiji, can't take it no more!aliniambia. Niliingojea kwa hamu nafasi hiyo.Baada ya kujivisha mpira wa kiume, nilimwingia kilaini na wote tulijiangalia wakati mbo.o ilipokutana na ku.ma yake!! Ilikuwa ni cheche. Nilianza kumtia kwa nguvu kama vile niko kwenye mashindano ya kutomb.ana. Alilalamika na kupiga ukelele huku akiendelea kukata kiuno chake kiufundi. Niliingia na kutoka na kuzungusha zungusha! Ilikuwa ni raha tupu!! Wakati huo wimbo wa Sexual Healing wa Marvin Gaye ulikuwa ukiimbwa.
Tuliendelea kutomb.ana kwa muda huku tukifuata muziki huo. Nilimpa, naye akanipa, niligawa naye akagawa!! ?Ahh mwanakijiji, I?m coming!! Fu.ck me hard? Alisema kwa sauti ya kali?Me too!!? Nilimjibu na pamoja tulikatikiana na kutomb.ana kwa nguvu. ahahhahahh, my goosh!? Alisema alipokuwa anafika kileleni. Na mimi nilifika kileleni wakati huo huo, na kwa dakika chache tulikuwa tumefungana utadhania kufuli na funguo!! Mbo.o yako tamu kweli, Alisema Chiku huku akijichomoa pole pole kuhakikisha kuwa Kondomu haimwagiki mezani. Wewe mtamu zaidi Nilimsifia. Tulienda bafuni kuoga, na baadaye tulirudi chumbani. Baada ya saa kama moja hivi, alianza kunichezea mb.oo yangu kuashiria kuwa yuko tayari kwa raundi ya pili. Nilidisa tena na sikumfanyia ajizi Tuliendelea kutombana kila baada ya masaa machache!! Baada ya kunywa chai, nitamtom.ba tena? Nilijawazia huku nikiishia usingizini. By Mwanakijiji
Lunch Time
Janifa ni dada fulani huko Dar es Salaam. Ana miaka 32, ana kazi ya maana na ana mtoto moja wa kike. Alibahatika kuolewa lakini mume wake kamwacha kusudi aoe mwanamke mwingine. Ukimwona Jenifa, kwa kweli bado ni mzuri ajabu.
Basi nilivyokuwa Bongo mwaka jana nilikutana naye. Nikamkaribisha lunch hotelini kwangu. Saa 6 na robo akaja. Tuliagiza chakula, tukala. Katika maongezi nilihisi kuwa amekosa raha shauri ya kuachana na mume wake. Alisema kampenda sana nahaelewi kwa nini kamwacha.
Nikamwuliza kuhusu maisha yao ya ndoa na hasa uwanja wa sita kwa sita. Alijibu, kuwa kila siku alikuwa tayari kumpa vituuz. Lakini siku za mwisho mwisho mume wake alikuwa kama vile hana hamu naye. Nikamwambia kuwa hapo tayari mume wake alishamchukua mwingine. Nikafikiria na sikuona sababu ya mume wake kutokuwa na hamu naye.
Nikaamua kumwuliza walikuwa wanafanyaje. Janifa mwanzo kaona haya kusema. Lakini nikawmabia hakuna sababu ya kuona haya maana sisi wote ni wakubwa. Basi Janifa kaniambia kuhusu maisha yake ya ngono na mume wake. Alisema, Mume wake alikuwa anasimamisha halafu anamtomba. Mara amgeuze, mara doggy, mara kifo cha mende. Nikasema, "Halafu?" Janifa kasema, "Heh! Dada Chiku una maana gani Halafu! Akishamwaga si basi, analala, nami nalala!" Kweli nikasikia huzuni moyoni. Nikamwuliza kama aliona raha wakati akifanya tendo la ndoa na mume wake. Janifa alijibu kuwa kila akifanya ngono na mume wake aliona raha, maana akiona mume wake ana raha naye ana raha…" Hapo nikajua kuwa rafiki yangu Janifa hajawahi kupata O, na wala hajawahi kuonja utamu wa dunia.
Maana mwanamke ukifishwa O, ni kitu ambacho huwezi kusahau. Nikawaza jinsi ya kuwelezea, tatizo lake ni nini. Nikaamua kumwambia ilivyo. " Janifa mpenzi, ni hivi, mume wake alikuwa mroho, na alikuwa hakujali katika mapenzi. Alikuwa anajali raha yake tu, na utaona, hiyo ndoa yake ya sasa haitadumu!Â’ "Heh! Dada Chiku una maana gani?" "Maana yangu ni kuwa alikuwa hakuridhishi katika ngono." "Hapana Dada Chiku nilikuwa naridhika." "Ngoja nikuulize, baada ya kumaliza ulikuwa bado una hamu ya kuendelea?" "Ndiyo mara nyingi tu, lakini alikuwa amechoka." "Hapo! Ungetosheka usingekuwa na hamu, at least kwa muda!"
Janifa kafikiria nilivyomwambia. "Doh! Dada Chiku nadhani umesema kweli!" "Kwanza , Pole sana, tena sana, miaka yote hii umekaa bilia kujuaraha hasa ya ngono.." "Sina la kusema, ila kuna siku utakutana na dume ambaye anajua kukuridhisha, na utajua umepata O. Je, Uliwahi kumnyonya mboo?" "Khaa! Uchafu huo!" "Siyo chafu! Yeye aliwahi kukubusu huko chini?" "Wala!" "Pole sana." "Una maana gani Dada Chiku?" "Bahati mbaya ilibidi nikimilie mkutano, njoo kesho, na nitakuezelea zaidi." Tukaagana na kaondoka. Bahati mbaya kesho yake alipatawa na dharura hatukuweza kuonana. Nilivyoondoka, Janifa kaja Airport kunisindikiza na kaniletea zawadi ya khanga. Baada ya kama miezi mitatu nilipokea e-mail: "Hi Dada Chiku! ‘Yaani nimekuelewa sasa. Nimempata B-F mpya. Jamani anajua mapenzi. Tongue Kiss kali, ananiapasa, na ananibusu na kuninyonya huko. Raha sana. Sikujua kuwa mwili wangu una raha kiasi hicho. Na mimi sina haya tena, nanyonya! Halafu anajua mchezo wa KiHaya. Siku zote nilidhania ni chafu na dhambi kumbe hakuna lolote raha tupu! Sitaki kukuelezea mengi, mpaka ukirudi. -Janifa
Nilijua Janifa sasa kawa mkubwa. Nilivyoenda Bongo hivi karibuni, nilimkuta rafiki yangu Janifa kawa mwanamke mwingine! Alikuwa na raha ajabu na kazidi kupendeza,! Badala ya kuonekana kama ana miaka 32, alionekana kama ana miaka 22! Nikamwuliza imekuaje tena. Kaniambia siku hizi ana Boyfriendmpya anaitwa Mike. Na huyo Mike hana raha bila wao kuonana, naye alisema hana raha mpaka amwone. "Mwaya, nilichukua ushauri wako,nikamnyonya mboo! Kumbe kunyonya mboo rahisi sana. Labda ningekuwa namnyonya mume wangu asingeniacha." Nikajibu, "Huwezi kujua!" Baada ya muda kidogo Mike kaja. Alivyokuwa handsome, nikashindwa kuamini kuwa rafiki yangu Janifa. "Mpenzi wangu Janifa, kwa ruksa yako, naomba nimbusu Dada Chiku, kwenye shavu!" "Ruksa unayo!" Mike kanibusu kwenye shavu ya kulia. Alivyonibusu, nilijua kuwa kampenda Janifa kweli. halafu alisema, " Site yako inafundisha mengi jiko la mkaa!" Nilianza kucheka. Nao walibakia kutazamana kwa macho ya mapenzi. Kwa mpigo walisema,"Asante Dada Chiku!" Arusi ya Janifa na Mike ilikuwa mwezi uliyopita, lakini bahati mbaya nilishindwa kurudi Bongo kuhudhuria.
Chiku Akutana na Powersbongo.
Chiku yuko njiani kwenda Bongo na ameamua kufanya Transit stopParis, Ufaransa. Amepokelewa Airport na Powersbongo. Powersbongo amefurahi kuonanana Chiku. Anampeleka Dinner, halafu wanaenda kutembea Champs Elysees, halafu Eiffel Tower. Baada ya hapo wanakwenda Dinner. Baada ya Dinner, Powersbongo anamsindikiza hotelini kwake Hotel Bassano.
Chiku anamshukuru, halafu Powersbongo anaondoka.Chiku chumbani kwake anaenda kuoga halafu anajiandaa kulala. Amefunga khanga zake mbili. Anafungua TV na kuangalia Sky Network. Mtu anabisha hodi mlangoni. Chiku anafungua mlango ni Powersbongo amerudi. CHIKU - Oh Karibu Powersbongo, karibu ndani. POWERSBONGO -Asante, nimerudi. Samahani lakini naomba upeleke hii perfume kwa binamu yake Dar es Salaam. CHIKU-Oh, LÂ’Air duTemps, hiyo perfume safi sana, ungeninunulia na mimi. POWERSBONGO-Kama unataka nitakupa ya kwako. CHIKU-Powersbongo mpenzi, nilikuwa nakutania, nitampelekea tu. Nipe namba yake ya simu, nitampigia nikifika Dar aje aichukue. POWERSBONGO-Asante, maana bina kanidai sana hiyo perfume. Powersbongo amekaa kwenye kochi. Chiku anaenda kuweka perfume na noti enye namba ya simu sandukuni. Powersbongo anatazama matako makubwa ya Chiku yanavyotingishika wakati Chiku akitembea.
Chiku anaelekea kwenye kochi anajua Powersbongo anamtazama kwa macho ya hamu. Anasimama mbele yake. Anavua zile khanga mbili, anabakia uchi. Powersbongo anatoa macho. Chiku amevaa shanga kiuoni anashika kuona kama ni za kweli. POWERSBONGO-Sijaona mwanamke mwenye shanga kiuonini siku nyingi sana…. CHIKU-Hebu achana na wanawake wakizungu wewe, unaacha Bongo love…. Powersbongo anasimama anaanza kupapasa mwili wa Chiku….. CHIKUMmmm, mmmmmhh Powersbongo..oh!
Chiku anafungua sharti ya Powersbongo na kupapasa kifua chake, anateremsha mkono na kushika mtuno kwenye suruali ya Powersbongo. Mboo yake imevimba kwa hasira. Chiku anaipapasa. Anapiga magoti kwenye kapeti nakuanza kunyonya mboo ya Powersbongo. POWERSBONGO-Yeah, Yeah, nyonya Chiku , Nyonya….Chiku anaizungushia ulimi kichwa cha mboo halafu anatia yote mdomoni ananyonya…. POWERSBONGO-Chiku utanifanya nije CHIKU-Nataka uje…. POWERSBONGOT-wende kitandanibasi. CHIKU-Sawa Powersbongo anavua nguo zake. Chiku amelala chale kitandani macho yamelegea kwa nyege. Amepanua miguu. Powersbongo naye analala kitandani anapapasa na kubusu matiti makubwa ya Chiku anapapasa tumbo halafu anateremsha mkono kwenye kuma, taratibu anazungushia kidole kwenye kisimi, Chiku analia kwa vile nyege zinazidi.
Powersbongo anaamua kumpa Chiku treat. Wametazamana, Powersbongo anateremsha kichwa kwenye kuma ya Chiku, anaanza kutekenya kisimi cha Chiku na ulimi taratibu, ile joto ya ulimi inamfanya Chiku alegee kabisa. Anaingiza kidole kumani na kunyonya kisimi taratibu. Kidole anaingiza na kuitoa taratibu kama vile mboo inayopampiwa. Chiku anakuwa na kiwewe ya utamu. Anakata kiuono taratibu japo kidole. Kuona Chiku amelegea kabisa anaingiza mboo.Kumbe Powersbongo aligundua ‘G spot ya Chiku alivyokuwa anam-finga. Mboo yake anaisugua G spot kila akipampu. Chiku anapiga makelele ya furaha. Kwani mtombo ni tamu ajabu.
Chiku anakata kiuno kwa kasi na Powersbongo anapampu kwa kasi, kitanda kimetulia kama uwanja wa mechi. Kitanda cha Ulaya hicho.Kusikia makelele hayo Powersbongo anashindwa kijizuia zaidiÂ…anakuja POWERSBONGO-Nakuja, Nakuja, Nakuja ooooooooooooooooohhhhhh aaaaaaaaaaaaaaw Kuma ya Chiku imewaka moto kwa utamu, na shahawa zinavyomwagika mle ndani na kugonga kuta za kuma utamu unakolea hadi Chiku anakuja na kukojoa cum ya kike, anasikia kama kuma inayeyuka kwa jinsi ilivyotamu. CHIKUAiiiiiiiiiiiii, aiiiiiiiiii, aiiiiiiiiiii, oh beeeeeeehbiiiiiiii, ooooooohbeeehhhhbiiiiiiiWakimaliza kuja wanabakia wamekumbatiana, wote wanahemaÂ…Â… POWERSBONGO-Yaani sijawahi kuona mwanamke akifurahia kutombwa kama wewe. CHIKU-(anacheka)Wewe unafikiria kuma na mboo zimeumbwa kwa ajili ya nini.…Lazima ukijua kuitumia vizuri utaona tamu. POWERSBONGOOh Chiku! Wanaendelea kutombana hadi asubuhi saa ya kwenda Airport kupanda ndege ya kwenda Bongo

Ubaya wa Usomi
Bi Helena ana miaka 33. Siku hizi wenzake wengi wameolewa lakini yeye ameamua kukazania kisomo kwanza ndio afikirie kuolewa. Amebahatika kwenda kusoma shahada ya juu katika Chuo Kikuu fulani Marekani. Amekuwa mwanafunzi mzuri na kushinda A katika kila somo tokea primary. Chuoni nako kazi kubukua na siyo kwenda kwenye starehe kama klabuni kila wikiendi.
George naye ni Mbongo. Ana miaka 40 naye kaja kusoma kozi fupi kwenye hicho Chuo cha Helena. Chuo ni kikubwa na hawakujuana mpaka siku ya party ya kusherekea Uhuru iliyoandaliwa na wa Bongo wa mji wao. Baada ya Party walianza kupigana simu.
Helena kwanza hakutaka urafiki lakini George anakazania awe na urafiki na Helena. Kwa vile Helena anasoma shahada ya juu kapewa chumba cha peke yake self contained, yaani Studio apartment. Siku ya jumamosi jioni. George anamtembelea. George anabisha hodi. "Karibu! Ah Karibu sana George." Helena anafungua mlango. George anaingia ndani. " Asante kwa kunikaribisha." Helena anachukua koti ya George na kuiweka kabatini. George anakaa kwenye kochi, huko anatazama Helena alivyopamba chumba chake. "Naona unakumbuka sana Bongo!Mpaka unaweka kanga ukutani kama pambo" "Kanga ninazo nyingi …nikupe bia." "Asante."
Helena anafungua Budweiser mbili na kuchukua glasi kabatini. Anaenda kukaa na George kwenye kochi wanaanza kunywa. "Sasa niambie bibie huna mpenzi.." "Sina." "Utampata tu." " Wala simisi kitu maana kitabu bwana hii PH.D yaani mpaka kichwa kinauma!" George – Mmmmhhh usisome sana.
Helena anaenda kwenye jiko na kupakua sahani mbili za pilau na kachumbari na kuziweka mezani. "Karibu tule basi" "Asante, pilau inanukia …yaani nimeisikia mpaka nje" Wanakula …na baadaye kuangalia sinema ya Coming to AmericaÂ’ kwenye TV. Ni saa 5 (11:00pm) sasa George anaamua kuaga.
Helena-– Asante kwa kunitembelea. George -– Nashukuru kwa ukarimu wako. George anaondoka. Helena anaosha vyombo halafu anaenda kuoga kusudi alale. Helena anavyotoka kwenye shower anasikia mtu anabisha hodi tena. "Heh, vipi tena!" Helena anafunga kanga haraka haraka na kwenda kufungua mlango, ni George amerudi. George – Oh, samahani nimeahau wallet yangu kwenye kochi. Helena anatazama haioni. Anamfungulia George mlango, Nenda basi kaitafute. Helena anarudi bafuni. Kwa vile yuko uchina bado ana maji mwili kanga inamshika. Chuchu ziko atensheni na matako yanatingishika.
Helena anarudi bafuni na kumaliza kujifuta maji. George anakaa kwenye kochi. Helena anatoka bafuni.
" Aiseei, unapendeza sana na kanga."
"Yah, nilikuwa najiandaa kulala." George, No sweti naondoka sasa hivi. Helena anaenda kwenye kitanda chake na kuchukua kitabu."Umeiona wallet yako!" George –Ndiyo hii hapa. Helena, achana na kitabu wewe tuongee zaidi basi bibie. Helena anamtazama George hukohasira zinampanda. George – Niambie ulipata penzi mara la mwisho lini. Helena – Siku nyingi na wala sijali. George – Kwa nini hujali? Helena – Sipendi ngono! George Hupendi! Helena – Sipendi! George – Kisa! Helena – Basi tuu, sipendi, uchafu tu, dume anakuacha na mzigo wa shahawa iaudhi kweli kweli! George – Sasa kumwaga ni sehemu kubwa ya kufanya ngono.Huoni raha. Helena - Raha gani. Mijamaa inamwaga inalala ndio nini tena!
George - Kumbe wewe bado bikira.
Helena - Hapana, mimi siyo bikira!Nimekuwa na boyfriends kama wanne hivi na tumesexi. George - Hamkusexi. Sema kuwa walikutumia kama choo!
Helena - Heh! George - Ndiyo, walivyomaliza na kumwaga shahawa ndani ya kumako bila wewe kufika kileleni, walikutumia kama choo! George anaenda kukaa na Helena kwenye kitanda chake. Anatamzama machoni halafu anambusu kwenye lips, Helena kawa kama kaganda hajui afanye nini wala aseme nini.
George anapapasa matiti ya Helena taratibu, huko anamvua ile kanga. Helena kabaki uchi. Anampasa mpaka kwenye kiuno, anashika ukanda wa shanga yake ya kiuoni. Boo ya George inasimama na kuwa ngumu. Anaanza kuhema… "Helena! Helena mpenzi" Kusikia hivyo Helena analegea kabisa.George anamlaza kitandani. Huko anavua nguo. George yuko uchi sasa analala na Helena kitandani, Helena kapanua miguu …George anapapasa kisimi cha Helena taratibu anaisikia ikivimba huko Helena analamika utamu. Anaingiza kidole kumani mwa Helena na kuona iko nyevu..Helena anamtaka. George anajikaza asimwingie kwanza huko anafikiria afanye nini..anaamua kumnyonya kisimi kwanza. Helena hataki anakataa. George - Acha niachie mimi kazi yote bibie, leo nitakubikiri… Helena kwa kusita anamwacha George amnyonye kisimi. Kusikia joto la ulimi kwenye kisimi anasikia utamu wa aina yake anacheka huko analia maana ni utamu mtupu… George hawezi kuvumilia anaingiza boo.Helena alia kwa sauti. "Tamu, ehhh mungu wangu ni tamu.. kumbe boo ni tamuuuuu hivyo….nipe nipe mpenzi. Nipe!" George unaona boo tamu siyo George anazungusha kiuno huko akitafuta G spot ya Helena ,anaipata anaisugua na kichwa cha boo mara tatu Helena ana yeyeuka na utamu.
Helena- Hehhh, heehhhhhh……oooooohhhh niiinii hii oooooooh taaamuuuuuu George anajua kuwa Helena anakuja naye anaachia anakuja naye.Helena kusikia ile joto la shahawa inagonga ndani ya kuma anakuja tena"uwiiiiiiimaigoiii" Wanavyomaliza George anatoa boo. Wanabakia uchi kitandani huko wanatazamana.
Helena ana ona haya…. "Jamani yaani miaka yote hii sijawahi kufurahi mboo namna hii."
George anacheka…"Bibie miaka yote hii umekosa uhondo shauri ya kitabu. Haya naona wewe siyo bikira tena.unaelewa utamu ni nini!’ Helena…."siwezi kusimulia lakini jamani ni tamu kumbe ndio maana ya kuja" George anazidi kucheka.. "pia unaweza kusema Umetombwa!"
Helena kawa kama mtoto mdogo anamvuta George, "Naomba tena" George haendi kwake, anabakia kwa Helena mpaka asubuhi huko Helena akijaribu kufurahia utamu aliyokosa kwa miaka na miaka.
Utamu Kagera Style
Dada Mmoja alinisimulia hivi: " Mji wa Morogoro sitausahau. Boyfriend wangu alikuwa kwenye seminar wiki mbili hapo Morogoro hotel. Mimi nilifunga safari kwenda ku-spend wikiendi naye. Jioni tukala chakula cha jioni, halafu tukatoka kutembea kidogo. Tuliangalia nyota na mwezi tulisikia milio ya wadudu na wanyama, na ukimya wa Nature.
Basi, tukarudi chumbani. Chumba kilikuwa self-contained, kwa hiyo tulienda kuoga, na tukarudi kitandani, Akaanza kunikiss na kunipapasa, na mimi nilirespond. P yake ikawa ngumu mara moja, na mimi nililainika mara moja, akanza shughuli. Kila akipandishana kushusha mboo yake ndani ya kuma yangu …jamani eheeee, tamu weeee!
Bahati mbaya alikuwa na hamu sana akamaliza haraka. Mimi nilikuwa bado na hamu aendelee.Nilibaki nimepanua miguu kwenye Kitanda na V(kuma) na K (kisimi) zilionekana kabisa. K changu kilikuwa inaanza kusimama. Basi, alipiga magoti naakashika P yake. Shahawa zilikuwa zinatoka taratibu kwenye V yangu. Akazigusa na P yake halafu alianza kuzungushia kichwa cha P kwenye K yangu. Akazungushia taratibu, huko akinitazama uso wake ukiwa Serious.
Kila akiona K inakauka alichukua Kichwa cha P ndani ya V, kama vile ana dip mkate kwenye chai. Aliendaendelea. Jamani, hiyo K changu kilikuwa mara ya kwanza kuwa treated hivyo. Kilinifanya nisahau hata niko wapi. Maneno sina ya kusimulia ila, utamu ulianzia kwenye K na ukasamabaa mwili mzima. Nikawa napiga makelele ya ajabu, jamani sikuweza kujizuia. Maana ililikuwa TAMUUUU sana. Mwisho ikawa kama mlipuko wa UTAMU, na mimi nilihisi kama nimekojoa vile, lakini huo niliodhani mkojo ulitoka na UTAMUU wake. Nilvyomaliza akawa anatabasamu.
Nilimwomba samahani kwa kuchafua shuka. Boyfriend wangu aliniambia, “Bibie, hivyo,unaelewa, wewe ni mwanamke sasa".
Nilivyoinuka, nikawa mwepesi kabisa, nacheka ovyo, ovyo, magoti yakawa kama hayana nguvu, na mimi nililala kwenye kitanda na kupanua miguu na kumwomba arudie. Hakurudia bali alitia P yake, na V yangu ilikuwa imesisimuka kiasi kwamba, sikukawia, nilimwaga tena! Safari hii, nili-faint kwa maana UTAMU ulinoga kweli kweli, yaani basi. Mpenzi wangu, Mie nakupenda kweli kweli. Asante sana. Sitasahau usiku ule."
Chiku Akutana na Afande Manyota - Part I
Afande Manyota kaja Boston kutoka Bongo kwenye Mkutano Longwood Medical Center. Amefikia CHARLES HOTEL mjini Boston. Afande Manyota (AM) amempigia simu Chiku kumsalimia. Wanapanga Chiku Aende hotelini jioni waonane ili Afande ampe zawadi kutoka kwashangazi yake Bongo.Chumbani kwa Akande Manyota Hotelini. Afande Manyota anamngojea Chiku kwa hamu. Chiku anabisha hodi mlangoni chumba (suite) namba 610: Chiku: (Taratibu kwa sauti ndogo)Hodi!AM: Karibu!Afande Manyota anafungua mlango…. AM Oh, Karibu, karibu sana Chiku -– Asante (Chiku anashangaa Afande Manyota alivyo handsome futi sita, anaonekana kama ana misuli ya bondia) AM- Kumbe wewe ndiye Chiku, oh karibu sana, nilikuwa na hamu sana ya kukuona. Shangazi yako kaniambia mengi juu yako. Chiku -– Asante nimekaribia. Shangazi hajambo siyo. AM- Hajambo, anakusalimia sana. Karibu kiti Chiku -– Ahsante, Oh, chumba kizuri sana, kumbe hii hoteli safi sanaÂ….. AM- Na hata mimi nimeipenda sana, chumba kikubwa
Chiku -– Bila shaka kuna Jacuzzi bafuni? AM -– Haha, Jacuzzi ipo dada, unajuaje ulishawahi kufika hapa nini? Chiku -– Unastarehe wewe….. hata hii hoteli inajulikana kwa anasa zake Afande Manyota anatamzama Chiku, kwa hamu, hajapata penzi siku nyingi….Chiku anajua hivyo, naye ana nyege, maana boyfriend wake amesafiri tena, wiki ya pili sasa, Chiku anasimama kwenda dirishani, anamtingishia matako, AM anakuwa kama kalewa….
Chiku -– Oh, view safi sana, unaweza kuona Charles River na Boston Common. AM- Ah ndio….nikupe nini? Chiku- Whisky Soda , kaka AM - anafungua baa ya chumba anampa Chiku whisky soda.Chiku (Akiongea kwa sauti laini) – Mmmmmmm., ohhh. Yeaaa, Napenda whisky soda., nasikia joto sasaÂ…..aaahhh.Afande Manyota anapigiwa butwa, anawaza kumbe Chiku anapandwa nyege kirahisi hivyo, au? AM-– Unaona joto? Ngoja niongeze Air conditioning Chiku-– Hamna haja, (Chiku anafungua blausi na kujipepea na gazeti, Afande Manyota anatazama kama vile anategemea kuona matiti ya Chiku, lakini Chiku hafungui sidiria).Chiku anakaa kwenye King Size Bed ya chumba.. Chiku-– Oh, Kitanda safii sana hii, kikibwa, unalalia peke yako?
AM- (Anashindwa aseme nini) aaaaahhhh, ndio, Chiku analala kwenye kitanda anaitesti. Chiku- Mmmmmmmmsafi sana kweli, kikubwa, unaweza kufanya mambo hapa….Njoo basi,Afande Manyota anaenda kitandani, Chiku anamvuta.anataka kufunguazipu ya suruali ili achezee mboo ya Afande Manyota… Chiku -Oh baby, mfungulie Afande manyota mdogo hapa nimwone basi….. Nyege zinampanda Afande Manyota anfungua zipu, Chiku anatoa mboo na kuichezea, inavimba… inasimama kwa hasira….
Chiku-Oh my Godi! Kumbe ndio maana unaitwa Afande Manyota, una mboo kubwa hivi…..oh kubwa kweli, dah….yaani inchi 10.halafu nene….. ohhhh my god. AM -– Sasa dada, mbona unaanza kuwa kama unaogopa….. Chiku -Afande Mpenzi , ngoja nikimbie, nimesahau, inabidi niende ku-babysit mtoto wa jiran.mbal.East Boston
Afande Manyota anamkamata Chiku kwa nguvu.. AM- Wewe Chiku, naomba kidogo basi…..Chiku (anakuwa kama msichana mdogo) Hapana, Afande, umejaliwa na chombo, naogopa..
AM- Unaogopa nini? (Anapapasa Vya Chiku, anaingiza mkono ndani ya chupi na kuichezea kisimi cha Chiku) Chiku- Oh, oh,, oh, tamu.(Chiku analegea kwa nyege) AM - Uansemaje sasa…. Chiku -Tujaribu, lakini taratibu mpenzi
AM - (anacheka) siwezi kukuumiza mpenzi Utafurahi tu,Chiku amevua nguo kabaki uchi, na ushanga kiunoni,…Afande Manyota anampapasa matiti ya Chiku mpaka chuchu zimesimama kamanyonyo ya chupa….huko anachezea V ya Chiku AM - ( Mboo imesimama na ana hamu ya kingiiza ndani ya V ya Chiku,) Ohh, Chiku, Chiku. Chiku anapanua miguu, V iko wet kwa hamu ya kutiwa mboo.bila kuomba Afande Manyota anaingiza mboo taratibu Chiku -Aaaaaaahhhhhhh, ohhhhhhhh AM- Unaumia Chiku, – Hapana taaaamuuuiiiiiii Afande Manyota anashusha na kupandisha mboo ndani ya kuma ya Chiku.. Chiku –Ooooh, yeahh, tamuuuuuu, tamuuuuuuu
Afande Manyota, - Na wewe mtaaammmuuuuu kweli….. Chiku anamkatia kiuoni, na Afande Manoyta kama kwa ufundi anaziweza., wanatombana, spidi inaongozeka, wote wanatoka jasho.. Chiku -– Oh,. Ohhhhhhh,,ohhhhh,,iiiiiiiiiiaaaaaaaaaaaa AM - - mmmmm,, sisssisiiiiiuuiiiiioooohhhh Chiku – Tamu Afande mboo yako tamu sana, AM - Mtaaaamu weeee Chiku, Chikuuuuuuu,Nakuja, Nakuuuuujjaaaaa, oh,nakujaaaaaa,,ehhhhhhhhh, eehhhhj.. Chiku -– njooooo mpenzi, aaaaa, njooooooo Wanakuja pamoja…. Baada ya kumaliza Afande Manyota anala chale….. AM -(anahema) Wewe Chiku, Mbona uliniambia kuwa huwezi mboo kubwa, kumbe unaweza….Chiku (anacheka kwa furaha bado ana nyege, amepanua miguu,) – heheheeÂ…Afande Manyota anaona kisimi, anashindwa kujizuia anapiga magoti kusudi amfanyie Chiku KATEREROÂ…..anasugua kichwa cha mboo kwenye kisimi taratibuÂ…. Chiku, - aaiiiiiiii,,oh,,,,ohh,,,,,ohh,,ooooooooom nakujaÂ…Â….nakujaÂ…Â…..Kusikia kelele za furaha ya Chiku, Mboo ya Afande Manyote inasimama tena…..anaitia ndani ya V ya Chiku…..Chiku analia kwa utamu yuko mbinguni..Wanatombana tena..wanakuja pamoja. Chiku -Oh, Afande Manyota, kumbe ndio maana wanakuita Afande Manyota.
Na mimi ninakuongezea nyota…. Afande Manyota – A-SAN-TEEEH! Chiku anaenda bafuni kuoga, akitoka anataka kuvaa nguo aende zake, lakini Afande Manyota, yuko tayari kwa mtombo mwingine. Chiku - Mboo tamuuuu, nipe basi...... Chiku anapiga magoti na kumnyonya Afande Manyota mboo mpaka anakuja mdomoni. Wanatombana tena, safari hii ndani ya jacuzzi. Wakimaliza Chiku anampigia simu jirani yake na kumwambia atafute babysitter mwingiine, analala hotelini mpaka asubuhi, wanatombana usiku kucha! Asubuhi Chiku: Siku nyingi kweli sijatombana na dume mpaka asubuhi AM: Na mimi siku nyingi sijakutana na mwanamke anayeniweza kama wewe.Mtamu sana wewe. Chiku: Asante na wewe unanipa utamuuuuu. AM: Ilikuwa niondoke leo kurudi Bongo lakini naona nitaahirisha safari. Chiku: Aahirishe basi mpenzi, tena ukitaka twende kwangu East Boston. AM: Sawa.
Mr.Kikoti. Powered by Blogger.

Comments